Nenda kwa yaliyomo

Ukahaba nchini Zambia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ukahaba nchini Zambia ni halali na uliokithiri[1].[2] na ni jambo la kawaida.[3] Shughuli zinazohusiana kama vile kuomba na kununua haziruhusiwi.UNAIDS inakadiria kuwa kuna makahaba 9,285 katika mji mkuu, Lusaka. Wanawake wengi hufanya kazi ya ukahaba kwa sababu ya umaskini.Wafanyabiashara wa ngono wanaripoti kwamba utekelezaji wa sheria unahusisha rushwa,na mara nyingi ni sheria ya unyanyasaji.[4][5]

  1. "The Legal Status of Prostitution by Country". ChartsBin. Iliwekwa mnamo 16 Machi 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Prostitution in Livingstone still rife". Zambia Daily Mail. 26 Oktoba 2016. Iliwekwa mnamo 16 Machi 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "Sex Work Law - Countries". Sexuality, Poverty and Law (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-07-29. Iliwekwa mnamo 16 Machi 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. "Sex workers: Population size estimate - Number, 2016". www.aidsinfoonline.org. UNAIDS. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 Juni 2019. Iliwekwa mnamo 21 Julai 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. Ncube, Sipilisiwe (29 Novemba 2017). "Poverty pushing prostitution, abortion to alarming levels – activist". Zambia: News Diggers!. Iliwekwa mnamo 16 Machi 2018.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)