Ujasiriamali

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mjasiliamali


Ujasiriamali ni kitendo cha kuunda, kutangaza na kuendesha biashara ambayo mara nyingine huwa biashara ndogo. Watu wanaoanzisha ujasiriamali huitwa wajasiriamali.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ujasiriamali kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.