Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1996

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1996 ulikuwa wa 53 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 5 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Bill Clinton (pamoja na kaimu wake Al Gore) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Bob Dole (pamoja na kaimu wake Jack Kemp).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Clinton akapata kura 379, na Dole 159. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.