Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1988
Mandhari
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1988 ulikuwa wa 51 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Republican Party", mgombea George H. Bush (pamoja na kaimu wake Dan Quayle) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Michael Dukakis (pamoja na kaimu wake Lloyd Bentsen).
Matokeo
[hariri | hariri chanzo]Bush akapata kura 426, na Dukakis 111 wakati mchaguzi mmoja kutoka West Virginia alimpigia kura Bentsen badala ya Dukakis. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1988 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |