Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1984

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1984 ulikuwa wa 50 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais Ronald Reagan (pamoja na kaimu wake George H. Bush) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Walter Mondale (pamoja na kaimu wake Geraldine Ferraro).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Reagan akapata kura 525, na Mondale 13. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.