Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1984

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1984 ulikuwa wa 50 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais Ronald Reagan (pamoja na kaimu wake George H. Bush) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Walter Mondale (pamoja na kaimu wake Geraldine Ferraro).

Reagan akapata kura 525, na Mondale 13. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1984 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.