Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1852
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1852 ulikuwa wa 17 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 2 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Franklin Pierce (pamoja na kaimu wake William R. King) alimshinda mgombea wa "Whig Party" Winfield Scott (pamoja na kaimu wake William A. Graham).
Matokeo[hariri | hariri chanzo]
Pierce akapata kura 254 na Scott 42. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |