Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1852
Mandhari
Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1852 ulikuwa wa 17 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 2 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Franklin Pierce (pamoja na kaimu wake William R. King) alimshinda mgombea wa "Whig Party" Winfield Scott (pamoja na kaimu wake William A. Graham).
Matokeo
[hariri | hariri chanzo]Pierce akapata kura 254 na Scott 42. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1852 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |