Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1844
Mandhari
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1844 ulikuwa wa 15 katika historia ya Marekani. Ukafanywa tarehe 1 Novemba hadi 4 Desemba. Upande wa "Democratic Party", James Polk (pamoja na kaimu wake George M. Dallas) alimshinda mgombea wa "Whig Party" Henry Clay (pamoja na kaimu wake Theodore Frelinghuysen).
Matokeo
[hariri | hariri chanzo]Polk akapata kura 170 na Clay 105. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1844 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |