Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1844
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1844 ulikuwa wa 15 katika historia ya Marekani. Ukafanywa tarehe 1 Novemba hadi 4 Desemba. Upande wa "Democratic Party", James Polk (pamoja na kaimu wake George M. Dallas) alimshinda mgombea wa "Whig Party" Henry Clay (pamoja na kaimu wake Theodore Frelinghuysen).
Matokeo[hariri | hariri chanzo]
Polk akapata kura 170 na Clay 105. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |