Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1844

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1844 ulikuwa wa 15 katika historia ya Marekani. Ukafanywa tarehe 1 Novemba hadi 4 Desemba. Upande wa "Democratic Party", James Polk (pamoja na kaimu wake George M. Dallas) alimshinda mgombea wa "Whig Party" Henry Clay (pamoja na kaimu wake Theodore Frelinghuysen).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Polk akapata kura 170 na Clay 105. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.