Tunu Pinda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tunu Pinda ni mwanaharakati wa Tanzania ambaye amehusika katika kukuza usawa wa kijinsia katika sekta mbalimbali za maendeleo, hasa ya uchumi wa kilimo, nchini Tanzania[1]

Uanaharakati[hariri | hariri chanzo]

Tunu Pinda amesisitiza umuhimu wa kanuni za kuwalinda walaji na kuboresha uwezo wa Tanzania kusafirisha bidhaa kwenye masoko ya kimataifa.[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Tunu Pinda Foundation – Non-Governmental Organization to Train and Equip" (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2023-08-18. "Mama Tunu Pinda awataka wanawake Songwe kupinga ukatili". Mwananchi (kwa Kiingereza). 2023-03-09. Iliwekwa mnamo 2023-08-18. 
  2. "Improve product packaging to attract buyers, producers told". The Citizen (kwa Kiingereza). 2021-04-03. Iliwekwa mnamo 2023-08-18.