Tori Franklin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Franklin katika Mashindano ya Marekani ya 2018
Franklin katika Mashindano ya Marekani ya 2018

Tori Franklin (amezaliwa Oktoba 7, 1992) ni mwanariadha wa mchezo wa miruko mitatu wa Marekani. [1][2]

Tori Franklin alishiriki katika mashindano ya miruko mitatu ya wanawake katika Mashindano ya Dunia ya Riadha ya 2019 na 2017, aliweka rekodi binafsi ya kuruka 14.03 m (46 ft 1⁄4 in) katika awamu ya awali hadi nafasi ya 9 & 13 mtawalia.[3] Franklin alishindana katika Mashindano ya ndani ya kidunia ya 2018, akiruka nafasi ya 8 mita 14.03 (46 ft 1⁄4 in) katika fainali.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Women Crushing It Wednesday - New Haute Volée Tori Franklin". www.oiselle.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-10-27. 
  2. "Tori FRANKLIN | Profile | World Athletics". www.worldathletics.org. Iliwekwa mnamo 2021-10-27. 
  3. 3.0 3.1 "DyeStat.com - News - Tori Franklin Jumps to Second on All-Time American Triple Jump List at Texas Relays". www.runnerspace.com. Iliwekwa mnamo 2021-10-27.