Topazi
Mandhari

Topazi ni madini ambayo kikemia fomula yake ni Al2SiO4(F,OH)2.
Ni kati ya madini magumu zaidi (8/10). Kutokana na ugumu na uangavu wake, pamoja na rangi zake mbalimbali, imetumika sana kama kito.
Inatajwa na Biblia pia.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Topaz Ilihifadhiwa 14 Februari 2017 kwenye Wayback Machine.—International Colored Gemstone Association
- Topaz and other minerals found at Topaz Mountain, Juab County Ilihifadhiwa 27 Agosti 2013 kwenye Wayback Machine., Utah Geological Survey
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya kemia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Topazi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |