Tobago

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tobago ni kisiwa cha Karibi kinachounda na Trinidad na visiwa vingine vidogo nchi huru ya Trinidad na Tobago.

Eneo lake ni la Km² 300, na linakaliwa na watu 60,874, wengi wakiwa na asili ya Afrika.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:

Tobago travel guide kutoka Wikisafiri