Timaya
Mandhari
Inetimi Alfred Odom (anajulikana zaidi kwa jina lake la kisanii Timaya, alizaliwa Odi, jimbo la Bayelsa, 15 Agosti 1980) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Nigeria. [1]
Timaya anajulikana kwa kuunganisha muziki wa pop wa Nigeria na vipengele vya dancehall, hip-hop, na soca, pamoja na muziki wa Afro-Caribbean/Dancehall. Yeye ni mwanzilishi wa DM (Dem Mama) Records Limited, ambapo pia amesajiliwa.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Chukwu, Reginald (25 Novemba 2013). "Timaya Surpasses Haters Expectations To Remain Relevant in the Industry". Nigeriaflims.com. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 4 Desemba 2013. Iliwekwa mnamo 10 Machi 2014.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Timaya kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |