Tigisis (Mauretania)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Tabula Peutingeriana ikionyesha "Tigisi"

Tigisis (inajulikana pia kama Tigisis ya Mauretania ili kuitofautisha na Tigisis ya Numidia) ulikuwa mji wa kale wa Waberberi katika jimbo la Mauretania Caesariensis.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Algeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tigisis (Mauretania) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.