Teodora Albon

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Teodora Albon mnamo mwaka 2014

Teodora Albon (alizaliwa 2 Disemba 1977 ) ni mwamuzi wa mpira wa miguu wa nchini Romania.

Albon alianza kazi ya urefa mwaka 2000 akiwa bado anachezea timu ya Clujana Cluj-Napoca, ambapo alikua akipewa mafunzo na mume wake, Mirel Albon, mwamuzi msaidizi wa zamani wa Liga I. [1]

Alichezesha Fainali ya mashindano ya UEFA ya wanawake chini ya miaka 19 2009 kati ya Uswidi na Uingereza. [2] [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Teodora Albon". WorldReferee.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 27 July 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Teodora Albon". worldfootball.net. Iliwekwa mnamo 26 July 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Albon to referee Wolfsburg-Lyon final". UEFA. 16 May 2013.  Check date values in: |date= (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Teodora Albon kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.