Tartu
Jump to navigation
Jump to search
Tartu ni mji nchini Estonia; kwa ukubwa ni mji wa pili ukiwa na wakazi 96,736 kwenye mwaka 2017[1].
Tartu ilianzishwa katika karne ya 11 kilijulikana kwa jina la Tharbata. Kaika historia yake ilijulikana pia kama Dorpat au Derpt.
Chuo Kikuu cha Dorpat / Tartu kilianzishwa mwaka 1632 ni chuo kikuu cha kwanza cha Estonia.
Picha[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]
Tartu travel guide kutoka Wikisafiri