Tartu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tartu ni mji nchini Estonia; kwa ukubwa ni mji wa pili ukiwa na wakazi 96,736 kwenye mwaka 2017[1].

Tartu ilianzishwa katika karne ya 11 kilijulikana kwa jina la Tharbata. Kaika historia yake ilijulikana pia kama Dorpat au Derpt.

Chuo Kikuu cha Dorpat / Tartu kilianzishwa mwaka 1632 ni chuo kikuu cha kwanza cha Estonia.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Tartu travel guide kutoka Wikisafiri