Tanger

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tanger
bendera ya Tanger

Tanger ni mji wenye wakazi 730,849 ambao upo Moroko.

Mji huo ni makao makuu ya mkoa wa Tanger-Tetouan.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Tanger kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.