Tanganyika katika Michezo ya Olimpiki ya mwaka 1964

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,[1] zikishindana kwa jina la Tanganyika, zilishiriki kwa mara ya kwanza katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya 1964 huko Tokyo, Japan.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.vpo.go.tz/uploads/publications/en-1592553756-historia_ya_muungano.pdf