Tanga Heritage Centre

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tanga Heritage Centre

The Tanga Heritage Centre, inajulikana zaidi kama Urithi (Kiingereza Heritage) ni asasi isiyo ya kiserikali na kifaida yenye makazi katika mkoa wa Tanga nchini Tanzania, asasi hii ilianzishwa mwaka 1999 kwa malengo ya kutunza na kutangaza urithi wa Mkoa wa Tanga

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]