Tanga Heritage Centre
Mandhari

Tanga Heritage Centre, inayojulikana zaidi kama Urithi (kwa Kiingereza Heritage) ni asasi isiyo ya kiserikali na yasiyolenga kifaida yenye makazi katika Tanga nchini Tanzania. Asasi hiyo ilianzishwa mwaka 1999 kwa lengo la kutunza na kutangaza urithi wa Mkoa wa Tanga.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya Nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |