Sviatoslav Zabelin
Mandhari
Sviatoslav Zabelin | |
---|---|
| |
Alizaliwa | 1950 |
Nchi | Urusi |
Kazi yake | mwanzilishi wa mtandao wa mazingira |
Sviatoslav Zabelin (amezaliwa 1950) ni mwanamazingira kutoka Urusi.
Ni mwanzilishi wa mtandao wa mazingira wa Socio-Ecological Union. Alipewa Tuzo ya Mazingira ya Goldman mnamo 1993.[1][2]
![]() |
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sviatoslav Zabelin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Howe, Marvine (19 Aprili 1993). "Chronicle". The New York Times. Iliwekwa mnamo 10 Aprili 2016.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Sviatoslav Zabelin. 1993 Goldman Prize Recipient, Europe". www.goldmanprize.org. Iliwekwa mnamo 10 Aprili 2016.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)