Sunday Afolabi (mwanasoka)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sunday Kolawole Afolabi (alizaliwa 10 Julai 1999) ni mchezaji wa soka wa Nigeria anayecheza kama kiungo wa kati katika klabu ya Perak F.C. katika ligi kuu ya Malaysia, Malaysia Super League].

Mafanikio[hariri | hariri chanzo]

  • Fallon d'Floor: 2022[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Perak's Afolabi wins 'Fallon d'Floor' award". NST. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 29 Desemba 2022. Iliwekwa mnamo 28 Desemba 2022.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sunday Afolabi (mwanasoka) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.