Nenda kwa yaliyomo

Stamata Revithi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Stamata Revithi (kwa Kigiriki Σταμάτα Ρεβίθη; Syros, 1866 - baada ya 1896) alikuwa mwanamke wa Kigiriki ambaye alikimbia mbio za kilomita 40 wakati wa Olimpiki ya mwaka 1896.

Rekodi za maisha yake kutoka mwaka 1896 zinaonyesha kuwa alikuwa akiishi katika umaskini huko Piraeus.[1]

  1. Yves-Pierre Boulongne (2000). "Pierre de Coubertin and [[:Kigezo:As written]] sport. (Women and sport)". Olympic Review. ku. 23–26. {{cite web}}: URL–wikilink conflict (help)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Stamata Revithi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.