Sofiano

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sofiano

Maelezo ya awali
Amezaliwa Januari 11 1991 (1991-01-11) (umri 33)
Asili yake Pouytenga, Kouritenga, Burkina Faso
Kazi yake Mwimbaji
Miaka ya kazi 2013–mpaka sasa

Sofiane Balzak Kanazoé (alizaliwa 11 Januari,1991) anajulikana kama Sofiano, ni mwimbaji wa nchini Burkina Faso.[1] Muziki wake kwa ujumla unajumuisha muziki wa afro-zouk na coupe-décalé. Amefanya kazi na wasanii kama Burkinabé Floby, Dez Altino na Agozo na amefanya kazi katika tamasha la Jardin de la Musique Remdoogo la muziki na sanaa katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou.[2] Sofiano alishinda tuzo mbili za kitaifa za Kundé nazo ni Kundé of revelation na Kundé of hope mnamo mwaka 2015.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nago Seck (2019-11-20). "Sofiano". Afrisson (kwa fr-FR). Iliwekwa mnamo 2023-02-26. 
  2. "Musique burkinabè : Rama, Weezy et Sofiano émerveillent déjà - leFaso.net, l'actualité au Burkina Faso". lefaso.net (kwa Kifaransa). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 1 March 2017. Iliwekwa mnamo 2017-02-28.  Check date values in: |archivedate= (help)
  3. UNESCO (2012-12-31). Politiques pour la créativité: guide pour le développement des industries culturelles et créatives. UNESCO. 
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sofiano kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.