Shati
Jump to navigation
Jump to search
Shati (kutoka neno la Kiingereza "shirt") ni nguo inayovaliwa na binadamu eneo la juu la mwili wenye ukosi na mikono kwa ajili ya kusitiri mwili wenyewe.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |