Sega (Misri ya Juu)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Sega au Shai-Sega ulikuwa ni mji wa kale wa huko nchini misri. Ulitumika kama sehemu ya makaburi ya watawala wa kale.

Eneo[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake limetokana na sehemu ijulikanayo kama Ankhtifi lakini halijawahi kutajwa kwenye maeneo ya kale au kwenye historia ya watu wa misri.

Maerejeo[hariri | hariri chanzo]