Sega (Misri ya Juu)
Sega au Shai-Sega ulikuwa ni mji wa kale wa huko nchini misri. Ulitumika kama sehemu ya makaburi ya watawala wa kale.
Eneo[hariri | hariri chanzo]
Eneo lake limetokana na sehemu ijulikanayo kama Ankhtifi lakini halijawahi kutajwa kwenye maeneo ya kale au kwenye historia ya watu wa misri.