Sara Ramadhani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sara Ramadhani
Amezaliwa30 Desemba 1987 (1987-12-30) (umri 36)

Sara Ramadhani (amezaliwa tarehe 30 Desemba 1987) ni Mtanzania mkimbiaji wa mbio ndefu zijulikanazo kama marathoni. Alishiriki shindano la Marathoni ya wanawake ya mwaka 2016 ambapo alimaliza umbali wa 121 kwa muda wa 3:00:03 [1]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Sara Ramadhani". Rio 2016. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 6 August 2016. Iliwekwa mnamo 15 August 2016.  Check date values in: |archivedate=, |accessdate= (help)