Saning'o Kaika Ole Telele

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Saning'o Kaika Ole Telele (amezaliwa tar. 15 Januari 1954) ni mbunge wa jimbo la Ngorongoro katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Saning'o Kaika Ole Telele". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.