Salvador, Bahia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Salvador, Bahia







Salvador

Bendera
Majiranukta: 12°58′29″S 38°28′36″W / 12.97472°S 38.47667°W / -12.97472; -38.47667
Nchi Brazil
Kanda Northeast
Jimbo Bahia
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,998,096
Tovuti:  www.salvador.ba.gov.br

Salvador ni jina la mji mkuu wa jimbo la Bahia katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 3 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 8 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Salvador, Bahia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.