Sajjad Fazel

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sajjad Fazel

Sajjad Fazel, Mwanasayansi wa afya ya jamii, Chuo Kikuu cha Calgary, Canada
Amezaliwa 14 Mei 1991
Nchi Canada
Kazi yake Mwanasayansi na Mtafiti wa afya ya jamii
Elimu Daktari wa famasi
Tovuti sajjadfazel.ca


Sajjad Sherally Fazel (amezaliwa Mei 14, 1991) ni mfamasia wa Kliniki Tanzania, mwandishi wa makala za afya na mwanzilishi wa Afya Yako, juhudi ya kwanza nchini Tanzania ya kustawisha afya ya umma kwa intaneti.[1][2][3]

Elimu[hariri | hariri chanzo]

Mwaka 2009 alimaliza Haven of Peace Academy Archived 15 Agosti 2020 at the Wayback Machine..

Rasmi mwanzoni mwa mwaka 2015 aliweza kuwa Daktari wa Famasia kutoka Manipal Academy of Higher Education.

Mnamo mwaka 2018 alipata Shahada ya pili katika kitivo cha Afya ya Jamii "Master of Public Health" kutoka University of Western Ontario.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Dr Sajjad Fazel: ‘Social media can be used for public good, not just celebrity gossip’ (4 September 2017). Jalada kutoka ya awali juu ya 2022-12-19. Iliwekwa mnamo 2019-12-21.
  2. Editor (11 February 2018). MUHAS students now join Tanzania’s growing health information crusade. Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-12-05. Iliwekwa mnamo 2019-12-21.
  3. Dhanji-Mistry, Sabira (8 May 2019). How a Twitter post changed thousands of lives.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sajjad Fazel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.