Rosario

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rosario katika picha nyingi.

Rosario ni mji uliopo mashariki-kati mwa nchi ya Argentina, takriban km 300 kutoka mji wa Buenos Aires. Ni makao makuu ya Wilaya ya Santa Fe.

Kwa mwaka wa 2008, mji wa Rosario ulikuwa na wakazi wapatao 1,000,000, na kuufanya uwe mji wa tatu kwa ukubwa katika Argentina. Mji upo katika eneo la mto mashuhuri wa Argentina, mto Parana.

Utamaduni[hariri | hariri chanzo]

Ukumbi wa michezo[hariri | hariri chanzo]

Makumbusho[hariri | hariri chanzo]

Maktaba[hariri | hariri chanzo]

  • Biblioteca Central General José de San Martín
  • Biblioteca Municipal Francisco López Merino
  • Biblioteca de la Legislatura de la Provincia

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Argentina bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Rosario kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.