Ronda Rousey

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ronda Rousey

Ronda Jean Rousey (matamshi: / raʊzi /; alizaliwa 1 Februari 1987) ni mtaalamu wa mieleka kutokaMarekani, mwigizaji, mwandishi, mchanganyiko wa mapigano ya kijeshi na judo. Kwa sasa amesajiliwa na WWE, akishiriki kwenye Raw. Pia aliwahi kuwa na mkanda wa WWE tangu mwaka 2018 ambapo mwaka 2019 alipokonywa na Becky Lynch kwenye Wrestlemania 35.

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ronda Rousey kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.