Riyal

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Riyal (kwa Kiarabu: ريال, riyāl; kifupisho: ر.س au SR) ni sarafu maalumu inayotumika nchini Saudi Arabia.

الريال السعودي.jpg

Imegawanyika katika halala (هللة, halalah) 100.

ThreeCoins.svg Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Riyal kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.