Ripoti ya Fowler

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ripoti ya Fowler (imetolewa tarehe 14 Machi, 2000) ni ripoti ya Umoja wa Mataifa inayoelezea namna ambavyo makampuni mbalimbali, serikali za Afrika na Ulaya, ikiwa pamoja na chama cha siasa cha Angola na mshirika wake UNITA, walivyokiuka Itifaki ya Lusaka halkadhalika mapendekezo ya UM. Robert Fowler, balozi wa Canada katika Umoja wa Mataifa, aliongoza tume iliyosuka ripoti hiyo,[1] ambayo iliangazia kwa kina dukuduku la dunia nzima dhidi ya biashara ya almasi zenye mgogo na kuonesha viunganishi vikubwa vya biashara haramu ya almasi za damu.[2] Mapendekezo haya ndio yaliyozaa Mkataba wa Kimberley.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. W. Martin, James (2004). Historical Dictionary of Angola. uk. 58. 
  2. Arthur V. Levy (2003). Diamonds and Conflict: Problems and Solutions. Nova Publishers. ku. 5–6. ISBN 1-59033-715-8. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]