Nenda kwa yaliyomo

René Bonino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

René Bonino (14 Januari 1930 - 17 Agosti 2016) alikuwa mwanariadha wa Ufaransa ambaye alishiriki katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto mwaka 1952 na 1956. Alifariki akiwa na umri wa miaka 86.[1]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu René Bonino kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.