Ras Dejen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Ras Dashen)
Kilele kinavyoonekana kutoka magharibi.

Ras Dejen (pia: Ras Dashen, huandikwa ራስ ደጀን katika lugha ya Kiamhara ikimaanisha mlinzi mkuu) ni mlima mrefu katika nchi ya Ethiopia na mlima wa kumi kwa urefu[1] barani Afrika ukiwa na urefu wa mita 4,533 (futi 14,930) juu ya usawa wa bahari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Africa Ultra-Prominences". peaklist.org. Iliwekwa mnamo 2020-02-29. 
  2. "Ras Dashen : Climbing, Hiking & Mountaineering : SummitPost". www.summitpost.org. Iliwekwa mnamo 2020-02-29. 

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Merriam-Webster's Geographical Dictionary, Third Edition. Springfield, Massachusetts: Merriam-Webster, Incorporat]]ed, 1997. ISBN 0-87779-546-0.