Rahma Bajun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rahma Bajun
Nchi Tanzania
Kazi yake mkurugenzi wa Ubunifu wa MnM Clothing Line
Cheo mkurugenzi


Rahma Bajun (alizaliwa 1994), ni mwanzilishi na mkurugenzi wa ubunifu katika kampuni ya MnM Clothing Line, chapa maarufu ya nguo za Afro-centric nchini Tanzania inayozalisha nguo za bei nafuu, pochi na vifaa vingine vya mitindo vya wanaume na wanawake kwa kutumia kitambaa maarufu cha Kitenge cha Afrika Mashariki.

Kampuni hiyo ina wafanyakazi 7 wa kudumu na inauza bidhaa zake kote Afrika Mashariki[1].


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rahma Bajun kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.