Radai

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Raddai alikuwa mtoto wa tano wa Yese wa Bethlehemu na hivyo pia kaka wa mfalme Daudi (1Sam 16:10-11; 1Nya 2:13-16).

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Radai kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.