Pune

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru






Pune
Faili:Flag of Pune.svg
Bendera
Pune is located in Uhindi
Pune
Pune

Mahali pa mji wa Pune katika Uhindi

Majiranukta: 18°28′00″N 73°47′00″E / 18.46667°N 73.78333°E / 18.46667; 73.78333
Nchi Uhindi
Jimbo Maharashtra
Wilaya Pune
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 3,337,481
Tovuti:  http://pune.nic.in/
Mji wa Pune ulioko ndani ya jimbo la Maharashtra

Pune ni mji wa Uhindi katika jimbo la Maharashtra. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2010, mji una wakazi wapatao milioni 3.3 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 560 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 1109.69 km².


Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uhindi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Pune kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.