Plumage League

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Plumage League ni kampeni inayofanyika kulaani utumiaji wa manywea ya ndege uliopitiliza kwa ajili ya mitindo iliyoanzishwa na Mchungaji Francis Orpen Morris na Lady Mount Temple Disemba mwaka 1885.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Wayback Machine". web.archive.org. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-10-27. Iliwekwa mnamo 2022-05-15.