Patricia Aakhus

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Patricia "Patty" Aakhus (pia anajulikana kama Patricia McDowell; Los Angeles, 17 Mei 195216 Mei 2012 [1]) alikuwa mwandishi wa riwaya na mkurugenzi wa Kimataifa katika Chuo Kikuu cha Kusini mwa Indiana. [2]

Alibobea katika fani ya uandishi na akashinda Tuzo ya Fasihi Bora ya Kufikirika ya Readercon mwaka wa 1990 na Tuzo la Cahill la The Voyage of Mael Duin's Curragh.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Patricia Aakhus (1952-2012)", Evansville Courier and Press, May 20, 2012. Retrieved on May 20, 2012. 
  2. University of Southern Indiana Error in Webarchive template: Empty url.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Patricia Aakhus kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.