Opera (wavuti)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Opera

Opera ni kivinjari cha wavuti kwa Windows, MacOS, na Linux ambacho ni mifumo ya uendeshaji iliyoandaliwa na Opera Software. Inatumia injini ya mpangilio wa Blink.

Toleo la mapema ilikuwa ni kwa kutumia injini ya mpangilio wa Presto bado inapatikana, na inaendesha mifumo ya FreeBSD.