Omo tuo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Omo tuo (Twi: ɛmo tuo; "mipira ya mchele") ni chakula kikuu  cha Ghana kilichotengenezwa na mchele.  Mara nyingi, "mchele uliovunjika" au mchele wakawaida uliovunjwa vipande vidogovidogo.Wali utapikwa na maji mengi kuliko kawaida[ufafanuzi ili kuufanya uwe mlaini.Kisha utapondwapondwa ili kuufanya uwe mlaini, na kisha inafanywa kuwa mipira.[1]  Nchini Ghana, kwa kawaida huandaliwa kwa supu iliyotengenezwa kwa palmnut au groundnut.  Nchini Nigeria, inaweza kuandamana miyan kuka (supu ya bamia).[2]

Mpira wa Omo Tuo
Omo tuo na mchuzi wanyama wenye nazi

Marejeo[hariri | hariri chanzo]