Abdallah Kigoda
(Elekezwa kutoka Omar Abdallah Kigoda)
Abdallah Omar Kigoda (amezaliwa 25 Novemba 1953 – 12 October 2015) alikuwa Mbunge katika Bunge la Tanzania la 2005-2010 akiwakilisha jimbo la uchaguzi la Handeni.[1]
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |