Obadin Aikhena

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Gabriel Obadin Aikhena (alizaliwa Iseyin, Nigeria, 9 Mei 1986) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Singapore na Nigeria[1], ambaye kwa sasa anacheza katika timu ya Nay Pyi Taw F.C.[2].

Mafanikio[hariri | hariri chanzo]

Balestier Khalsa

  • Kombe la Ligi ya Singapore: 2013

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Happy (2010-04-16). "S-league: Facts & Figures: Obadin Aikhena set to get Singapore citizenship". S-league. Iliwekwa mnamo 2021-07-02. 
  2. "Player Soccer - Aikhena Obadin on MyBestPlay". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-07-14. Iliwekwa mnamo 2023-06-16. 
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Obadin Aikhena kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.