Nyanda
Mandhari

Nyanda Janelle Thorbourne (anajulikana zaidi kwa jina lake la kisanii Nyanda) ni mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Kingston, Jamaika. Nyanda ni mwanachama wa kundi la R&B/reggae Brick & Lace ambao albamu yao ya kwanza, Love Is Wicked ilitolewa kupitia studio ya Geffen mwaka 2007 na ilijumuisha wimbo maarufu Love Is Wicked.[1][2][3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Trouble by Nyanda". SoundCloud.
- ↑ Johnson, Richard (Februari 19, 2013). "Brick & Lace Disbands". The Jamaica Observer.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Samuels, Natasha (Aprili 8, 2008). "Brick & Lace's Sexy Roots Music". The Jamaica Observer.
{{cite news}}: CS1 maint: date auto-translated (link)