Nuuk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mji wa Nuuk

Nuuk ni mji mkuu wa Greenland. Una wakazi 18,000 hivi, karibu thuluthi moja ya wakazi wote wa kisiwa hicho kikubwa cha Amerika Kaskazini.

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.