Nusukipenyo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Duara na nusukipenyo (rediasi).

Nusukipenyo au rediasi ni mstari unaonyoka kati ya kitovu cha duara na mzingo wake. Ni nusu ya urefu wa kipenyo.

Uhusiano kati ya mzingo na rediasi ni

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nusukipenyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.