Nuksi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nuksi (pia: Nuhusi) ni hali ya kutokuwa na bahati katika maisha au kutofanikiwa katika masuala fulanifulani (lakini si rasmi kwa sababu ipo kama imani tu). Pia, hutumika mitaani katika hali ya kutaniana au kuelezana kwa namna fulani. Kwa mfano kila ukifanya jambo fulani usifanikiwe, basi mwingine anatokea na kusema "una nuksi" ndiyo maana hufanikiwi.

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nuksi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.