Nozeli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nozeli ya maji

Nozeli (kutoka Kiingereza: nozzle[1]) ni kifaa kilichobuniwa na kutengenezwa kwa madhumuni ya kuelekeza na kubadilisha tabia ya kimiminika au gesi inayopita ndani yake.


Marejeo[hariri | hariri chanzo]