Nouria Benghabrit-Remaoun
Mandhari
Nouria Benghabrit-Remaoun (amezaliwa 5 Machi 1952) ni Mwanamke mwanasosholojia na mtafiti wa Algeria. Hapo awali alikuwa amehudumu katika serikali ya Algeria kama Waziri wa Elimu ya Kitaifa.[1][2]
Kazi yake ya awali ilikuwa mkurugenzi wa Kituo cha Kitaifa cha Utafiti katika Anthropolojia ya Kijamii na Kitamaduni. Alikuwa mwanachama wa Kamati ya Sera ya Maendeleo (CDP), bodi tanzu ya Baraza la Umoja wa Mataifa la Kiuchumi na Kijamii.[3][4] Kulingana na gazeti la The Economist,alipokuwa waziri wa elimu, alipendelea matumizi ya Darija kama lugha ya elimu nchini Algeria.[5]Nouria ni mjukuu wa kaka yake Si Kaddour Benghabrit.
Marajeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Official Journal of Algeria
- ↑ "President Tebboune conducts ministerial reshuffle". Algeria Press Service. Iliwekwa mnamo 5 Aprili 2024.
- ↑ The CDP members on the UN official website
- ↑ The membership of the CDP
- ↑ "A battle over language is hampering Algeria's development". The Economist. 17 Agosti 2017. Iliwekwa mnamo 18 Agosti 2017.
{{cite news}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nouria Benghabrit-Remaoun kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |