Nenda kwa yaliyomo

Natasha Joubert

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Joubert mwaka 2021

Natasha Joubert (amezaliwa 24 Julai 1997) ni mshindi wa taji la urembo kutoka Afrika Kusini ambaye alitawazwa kuwa Miss South Africa mwaka 2023. Hapo awali alikuwa mshindi wa tatu katika shindano la Miss South Africa mwaka 2020, na baadaye aliwakilisha Afrika Kusini katika shindano la Miss Universe mwaka 2020.[1][2]

  1. "Runners-Up". Miss South Africa. Iliwekwa mnamo 10 Desemba 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Two local women in top 30 of Miss South Africa". Pretoria Rekord. 25 Mei 2023.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Natasha Joubert kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.